NIPOST lyrics

by

QUANTASAGE


Intro; t's about time they know, that we know
And we know what we know, The MORS
T.Blast,Sava Madeit,Dully Stain.huh
Oscyboy on the beat

Verse1;Dully stain
Bado tuna bang,mtaani tunavimba usilete tu makeke
Mnyama nimepinda,we nipost atakama umefika 10k
Social media inibebe , ili nisimame dede yah
Mtaani nikipita naskika professional full shangwe
Watag mabosi,watag mashosti,ukinipost [yeah] x 2]
Sina mikosi, mi ndo bitozi, cheki mapozi [yeah] x 2]
Namwaga noti,namwaga noti,pesa sikosi [yeah] x 2]
Mi ndo bitozi,makodi konki,bila kuforce [yeah] x 2]
Hadi ma n*gga nawa inspire
Watoto wakali mi nawapa fire
Baby nipost kila kona your best friends wani admire
Wakiomba namba usione haya
We wape tu kama kawa
Coz am a photogenic kila kona bado mi natawala
Am super star mabishoo wote wanakaa right now
Kila kona ya mtaa post zimezagaa right now
Ninatamba dar na mikoa yote hadi chuga right now
Nawaweka uch* hata kama nikitinga suti rght now

Chorus;Savalif3
Baby nipost
Toka monday mpaka monday
Baby nipost
Kila kona nijigambe
Baby nipost
Mpaka wakufe kwa donge
Hadi man*gga,machick
Social media zote yani wanipambe X 2
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net