Kibera lyrics

by

Gramps Morgan


[Lutan Fyah]
Johnny Vigeti (long side)
Lutan Fyah woiyeh! Uuh! Woh!
Life is not easy
In a deh slum, I wonder how deh people gonna make it
Ramshackle community
Conditions bad, I say deh system set it
Waste and refuses everywhere
Contamination extensive
Sewage flow down de alleyway
…….. six by six
Surrounded by rubbish
You woulda cry if you dis in nah Kibera
Some place I know in Africa

[Chorus: Lutan Fyah]
The City of Kibera
Where everything recycle
Poverty nah stop you!
Down ina Kibera
That place I know in Africa
The City of Kibera
Where everything recycle
Poverty nah stop you!

[Verse 2: Vigeti]
Hakuna uzuri ni kinenge
Chapa supper maji ya chumvi na kisembe
Ukileta mambo ya uhuni ni kinyembe
Wanajua form lakini wanaye jifanya bubu
Kisu ya mgogo kwa mwenye unaye-itanga ndugu
Ishi kinafiki dishi tu ni dhiki
Ubishi tu ni tiki eh! (kweli man yeah!)
Hiyo form inani kera
Second largest ghetto iko home na ni Kibera
H-I-V pande hii, ni sixty percent
Issue ni dishi, but then kutoboa ni risky my friend
Ma IDP bado wanaishi kwa tent
Siunajua mambo Lutan eh? Aah!

[Verser 3: Lutan]
Cardboard zinc stinking stench
One meal a day dem know name from when
Take HIV gone sixty percent
And depiknydem a dead off before they reach ten
I know poverty
Me go call this consequence when nobody know what they call betterment
Sufferation so normal to them
If a family survivepon a British ……. Ina Kibera

[Chorus: Lutan]


[Verse 4: Vigeti]
Nikung’ang’ana!
Watoto wadogo wanaitwa ma-mama
Suicidal ka shingo ikishikwa na kamba
Watoto watakula nini?
Politicians wanakujia kura mingi
f*cked up ndio maana na kula sura mingi
Screw face kukubadilishia sura nini
Kutania kwa chochoro yeah hutaamini
(Unawakilisha nini man?)
Wengine kwa rekodi wanaongea eti bling bling
Na watu wanaishi chini ya dollar eighty shillings
Ndio maana uniambie bila chochote usilete feelings
Kila mtu akitaka anaeza sing hii

[Chorus: Lutan]
Kibera
Some place I know in Africa
The City of Kibera
Where everything recycle
Poverty nah stop you!
……………………………nah Kibera
That place I know in Africa
This place called Kibera
Everything recycle
Poverty nah stop you!
(.……………Kibera
Some place I know in Africa
The City of Kibera
Where everything recycle
Poverty nah stop you!) X 2
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net