Niache lyrics

by

Rick Ross


[Verse 1]
Hhhhmm
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala (Hhhhmm)
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala (Oooh)
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane (Hhhhmm)
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane (Hhhhmm)

[Bridge]
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa

[Chorus]
Niache......!
Niache......!
Niaache......! Oh Niache
Niache......!
Nipambane na moyo wangu
Niache......! (Niiaaa....!)
Niache......! (Moyo wangu una hasira)
Niaache......! Oh Niache
Niache......!
Oooh Oh!
[Verse 2]
Najitahidi nisilale kwenye kitanda
Huenda ntapunguza ndoto zako
Hhhhmm
Mwilini nina machale utadhani mwanga
Yote kuusahau uwepo wako
Hhhhmm
Laiti kama ningekuwa gari
Ningekugonga barabarani
Ama nyuki mtoa asali
Nkung'ate sura wasiitamani
Hivi wewe ungo ulivunja mwali
Ama ulivunja sahani
Kuniundia mateam kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani

[Bridge]
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
[Chorus]
Niache......! Oooh Niachee
Niache......! (Mimi moyo wangu una hasira)
Niaache......! (Tena ukae mbali)
Niache......! (Oooh Niachee)
Niache......! (Usiwapigie rafiki zangu)
Niache......! (Usithubutu hata simu yangu)
Niaache......! (Chonde tafadhali)
Niache......! (Niiaaa....!)

[Outro]
Iyoo Lizer
Hhhhmm
Ntakudanganya kwa tabasamu
Ntakudangany kwa kucheka
Ntakudanganya hata kwa salamu
Ila moyoni nakuchukia
Nitakudanganya kukufollow
Nitakudanganya kucomment
Nitakudangaya kulike picha
Ila siwezi kukuzimia
Mxiuuuuu
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net